
Baada ya Yanga kumsajili Wazir Junior kutoka Mbao FC ili kuimarisha eneo la ushambuliaji ndani ya timu hiyo , kuna taarifa za ndani zinadai kuwa Yanga wamehamia kwa Dickson Ambundo.
Mchezaji huyo ambaye hucheza kama winga wa pembeni ameonekana kufikia makubaliano ya kujiunga na mabingwa hao wa kihistoria nchini Tanzania.
Ikumbukwe Dickson Ambundo ashawahi kucheza ligi kuu Tanzania bara akiwa na klabu ya Alliance FC baada ya hapo alihamia kwenye klabu ya Gormahia FC ya nchini Kenya.
Unaweza soma hizi pia..
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.