
Klabu ya soka ya Mbao ya jijini Mwanza kupitia ukurasa wake wa Instagram imemtangaza kocha Salum Mayanga kuwa kocha wake mkuu ikiwa ni siku chache baada ya kumtimua Kocha Ally Bushiri aliyekuwa akishikilia mikoba hiyo.
Kabla ya kibarua hicho, Mayanga alikuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa mabingwa wa kombe la FA Mtibwa Sugar lakini pia amewahi kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) pamoja na vilabu mbalimbali vikiwemo Tanzania Prisons pamoja na Mtibwa Sugar yenyewe.
Taarifa zaidi itafuata:
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.