Ligi Kuu

Kauli ya Katwila kuelekea mechi ya ligi dhidi ya Tanzania Prisons.

Sambaza....

Kocha wa Mtibwa Sugar Zuberi Katwila akizungumzia mchezo wa Kesho wa ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons pamoja na malengo yao kwa msimu wa 2018/2019.

Mchezo kati ya Tanzania Prisons na Mtibwa Sugar utafanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.


Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x