
Kocha wa Mtibwa Sugar Zuberi Katwila akizungumzia mchezo wa Kesho wa ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons pamoja na malengo yao kwa msimu wa 2018/2019.
Mchezo kati ya Tanzania Prisons na Mtibwa Sugar utafanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.
Unaweza soma hizi pia..
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.