Shirikisho la soka Barani Afrika CAF limeufungia uwanja wa Mkapa ambao unatumiwa na vilabu vya Simba na Yanga kama uwanja wao wa nyumbani ili uweze kufanyiwa marekebisho madogo
Rishald ameongeza kuwa nafasi kubwa ya kuonesha nia ya kutaka kubaki ipo kwenye mchezo wa Jumanne hii dhidi ya Mtibwa Sugar utakaofanyika kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.