
Ally Ramadhani "Oviedo" akiwa mazoezini katika uwanja wa Bora Kijitonyama.
Klabu ya soka inayomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni KMC fc tayari imeitikia kauli ya rais ya kurudisha michezo na tayari wameingia kambini kujiandaa na kumalizia michezo iliyokabi ya Ligi.
Kmc imeanza mazoezi tangu siku ya Jummane tarehe 26 katika uwanja wa Bora Kijitonyama, huku wakiweka kambi yao maeneo ya Makongo Juu karibu na Chuo cha Kikuu cha Ardhi.
Mpaka Ligi inasimama kutokana na ugonjwa wa corona KMC unashika nafasi ya 15 ikiwa na alama 33 huku ikiwa imeshuka dimbani mara 29. Kabla ya Ligi kusimama KMC ilikua katika muendelezo mzuri baada ya kushinda michezo minne mfululizo na hivyo kuwa katika nafasi nzuri ya kujitoa katika eneo hatari la kushuka daraja.
Unaweza soma hizi pia..
Rafiki yangu Ajib ananipa unyonge!
Ajib hajui mpira? Hapana. Kuna timu haitamani kipaji cha Ajib? Hapana. Katika ubora wake kuna timu katika ligi yetu Ajib anaweza kukaa benchi?
Juma Mgunda na utamu wa Coastal Union yake!
Mgunda mpaka sasa ameiongoza Coastal Union katika michezo 10 ya Ligi.
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.