
Tazama bao lililofungwa na Hasan Dilunga katika dakika ya 37. Mchezo huu umefanyika katika uwanja wa Samora mkoani Iringa.
Lipuli FC inashika nafasi ya 8
# | Timu | P | W | D | L | F | A | GD | Pts |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | Simba SC | 30 | 20 | 9 | 1 | 62 | 15 | 47 | 69 |
2 | Azam FC | 30 | 16 | 10 | 4 | 35 | 16 | 19 | 58 |
3 | Yanga SC | 30 | 14 | 10 | 6 | 44 | 23 | 21 | 52 |
4 | Tanzania Prisons | 30 | 12 | 12 | 6 | 27 | 22 | 5 | 48 |
5 | Singida Utd FC | 30 | 11 | 11 | 8 | 30 | 28 | 2 | 44 |
6 | Mtibwa Sugar FC | 30 | 10 | 11 | 9 | 23 | 21 | 2 | 41 |
7 | Lipuli FC | 30 | 9 | 11 | 10 | 23 | 24 | -1 | 38 |
8 | Ruvu Shooting | 30 | 9 | 11 | 10 | 31 | 37 | -6 | 38 |
9 | Kagera Sugar FC | 30 | 8 | 13 | 9 | 23 | 27 | -4 | 37 |
10 | Mwadui FC | 30 | 8 | 12 | 10 | 32 | 37 | -5 | 36 |
Unaweza soma hizi pia..
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.
Kocha Yanga: Kesho tunacheza mechi mbili.
Yanga wakaua makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kupepetana na Dodoma Jiji katika Ligi Kuu ya NBC.