Yanga SC vs Ndanda FC

Sambaza....

Baada ya kupata sare tatu mfululizo na kuanza kufifisha matumaini ya kukamata nafasi ya pili Yanga wanakwenda kujiuliza mbele ya Ndanda fc mbele ya mashabiki wake uwanja wa Taifa.

3 - 2
Mwisho

Yanga SC

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
27/06/2020 4:00 pm TPL 2019-2020 90'

Sambaza....