
Magoli 14 na pasi 8 za magoli , hizi ni takwimu ambazo msimu huu Saido Mane ameziweka. Saido Mane kwa sasa amekuwa mchezaji ambaye anafanya vizuri sana duniani. Amekuwa mshambuliaji hatari zaidi duniani kwa sasa.
Realmadrid imeamua kumnyatia mshambuliaji huyo. Tangu aondoke Cristiano Ronaldo hakuna mchezaji anayetokea pembeni na kufunga aliyepatikana kwenye kikosi cha Realmadrid.

Kwa hiyo Realmadrid wameamua kutaka kumng’oa Liverpool na kumleta kwenye kikosi hicho cha ligi kuu ya England. Tayari Realmadrid wameshafanya mazungumzo na wawakilishi wa Saido Mane , Saido Mane ana mkataba na Liverpool unaoisha mwaka 2023.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.