Blog

Stars yapaa kwenda Africa Kusini!

Sambaza....

Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” imeondoka leo alfajiri kuelekea nchini Afrika Kusini kuweka Kambi kujiandaa na mchezo wake wa kutafuta tiketi ya kufuzu Afcon 2019 dhidi ya Lesotho.

Kambi hiyo ya siku 10 itakuwa katika Mji wa Bloemfontein kabla ya kikosi hicho kuelekea mjini Maseru, Lesotho.

Taifa Stars ipo nafasi ya pili katika kundi L ikiwa na alama 5 nyuma ya vinara Uganda wenye alama 10 wakati Cape Verde wapo nafasi ya tatu wakiwa na alama 4 na Lesotho wakiburuza mkia na alama mbili.

Mchezo dhidi ya Lesotho unataraji kuchezwa Novemba 18,2018 mchezo ambao utatoa taswira ya Taifa Stars kufuzu kucheza Afcon mwakani itakayofanyika Cameroon.

Wachezaji walioitwa kujiunga na kikosi hicho kinachodhaminiwa na Bia ya Serengeti ni

Aishi Salum Manula (Simba SC)

Shomari Salum Kapombe (Simba SC)

Ally Abdulikarim Mtoni (Lipuli FC)

Kelvin Patrick Yondani (Young Africans)

Gadiel Michael Kamagi (Young Africans)

Benno David Kakolanya (Young Africans0

Benedict Tinocco Mlekwa (Mtibwa Sugar)

Agrey Morris Ambross (Azam FC)

Mudathir Yahya Abbas (Azam FC)

Yahya Zayd Omari (Azam FC)

Simon Happygod Msuva (Diffa Eljadida – Morocco)

Erasto Edward Nyoni (Simba SC)

Himid Mao Mkami (Petrojet – Egypt)

Abdi Hassan Banda (Baroka FC – South Africa)

Aron Ally Kalambo (Tz Prisons)

Rashid Yusuf Mandawa (BDF – Botswana)

Salum Mashaka Kimenya (Tz Prisons)

Feisal Salum Abdallah (Young Africans)

Abdallah Salu Kheri (Azam FC)

John Raphael Bocco (Simba SC)

Mbwana Samatta (Genk – Belgium)

Abubakar Salum (Azam FC)

Jonas Mkude (Simba SC)

Thomas Ulimwengu (Alhilal – Sudan)

Hassan Ramadhan Kessy (Nkana Ranger – Zambia)

Shaban Idd Chilunda (Tenerife FC – Spain)

Shiza Ramadhan Kichuya (Simba SC)

Cliford Mario Ndimbo
Afisa Habari na Mawasil

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x