
Ally Ramadhani akiwa na wachezaji wenzake wakimsikiliza kocha kwa makini.
Ligi Kuu Bara ikiwa ni miongoni mwa Ligi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Corona Duniani na kupelekea kusimamishwa kwake huku baadhi ya timu zikipata nafuu huku zingine ni kama zikiwa zimeathirika kwa kusimama kwa Ligi kutokana na form nzuri waliyokua nayo.
KMC ni kama vile wameathirika zaidi kutokana na kusimama kwa Ligi na hii ni kutokana na wakati mzuri waliokua nao katika michezo yao minne ya mwisho. Katika michezo yake minne ya mwisho KMC imeweza kuibuka na ushindi.

Tazama hapa msimamo uone jinsi form za timu mbalimbali katika michezo yake mitatu ya mwisho kabla Ligi haijasimama.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.