
Ligi Kuu Bara imerudi tena baada ya kusimama kwa muda mrefu kutokana na janga la virusi vya corona. Lakini kwasasa hali ni shwari na serikali kiruhusu shughuli za michezo kuendelea kama kawaida huku wakitoa muongozo wa vitu vya kufanyika ili kuendelea kuchukua tahadhari.

Leo Mwadui na Yanga wanafungua dimba huko Shinyanga katika dimba la Kambarage. Kabla ya msimu kusimana kutokana na corona tayari Meddie Kagere alishajihakikishia zawadi ya Galacha wa mabao kwa mwezi March.
Kabla ya Ligi kusimama tuliishia hapa katika kuwania kiatu cha ufungaji bora.
Wafungaji Bora 2019/2020
Na. | Mchezaji | Timu | |
---|---|---|---|
1 | ![]() | ![]() | 22 |
2 | ![]() | ![]() | 13 |
3 | ![]() | ![]() | 12 |
4 | ![]() | ![]() | 12 |
5 | ![]() | ![]() | 12 |
6 | ![]() | ![]() | 12 |
7 | ![]() | ![]() | 11 |
8 | ![]() | ![]() | 11 |
9 | ![]() | ![]() | 10 |
10 | ![]() | ![]() | 10 |
Unaweza soma hizi pia..
Rafiki yangu Ajib ananipa unyonge!
Ajib hajui mpira? Hapana. Kuna timu haitamani kipaji cha Ajib? Hapana. Katika ubora wake kuna timu katika ligi yetu Ajib anaweza kukaa benchi?
Juma Mgunda na utamu wa Coastal Union yake!
Mgunda mpaka sasa ameiongoza Coastal Union katika michezo 10 ya Ligi.
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.