
Mchezaji wa zamani wa Mtibwa sugar ambae kwa sasa anakipiga nchini Thailand Mroki Mroki huenda akajiunga na klabu ya Yanga katika msimu huu wa usajili wa dirisha kubwa.

Mroki Mroki anataka kusajiliwa na Yanga kama mlinzi wa kulia ili akasaidiane na Paul Godfrey wakati huu ambapo Juma Abdul hajajulikana hatma yake kama atabaki klabuni au ataachwa
Unaweza soma hizi pia..
Habari ikufikie Mwananchi!
Kikosi cha Yanga kipo kambini kamili gado tayari kabisa kumvaa Mnyama katika mchezo wa kisasi kwa upande wao
Jumamosi tulivu ya Sato na Sangara.
Makocha wote wawili ni waumini wa mifumo yenye idadi kubwa ya viungo pale kati ili kuleta usawa mzuri kwenye kushambulia na kijihami
Usichokijua katika safari ya Simba kombe la FA!
Simba imecheza michezo mitatu ikiwa mwenyeji dhidi ya Dar City, JKT Tanzania na Pamba Fc. Sio tu imepata ushindi lakini pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.