
Moja ya kelele ambazo kwa sasa zinapigwa na mashabiki wa Simba ni wao kutomtaka kocha wao mkuu wa sasa.
Wanaamini timu yao inacheza soka ambalo siyo la kuvutia na soka ambalo linawafanya wao kuhangaika kupata ushindi kwenye mechi zao.
Kabla ya kufungwa mechi ya jana , Simba walienda mechi nne mfululizo wakitanguliwa na timu pinzani kabla ya kusawazisha na kushinda.
Lakini pamoja na kwamba Kocha mkuu wa Simba analalamikiwa Sana , Lakini takwimu zinambeba na kuonesha kuwa yuko kwenye mstari ambao ni sahihi.
Katika mechi 10 ameshinda mechi 8, sare 1 kipigo kimoja, magoli 23, takwimu ambazo zinambeba sana na kumfukuza ni sawa na kumuonea kwa sababu ya takwimu zinavyombeba.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.