
Mlinzi wa Simba Tairone Santos akipambana na Ditram Nchimbi wa Yanga
Michuano ya kombe la FA maarufu kama AzamSports Federation Cup leo wamecheza draw ya michuano hiyo kwa kuzihusisha timu nane zilizobaki ambazo ni Namungo fc, Sahare Allstar, Ndanda fc, Azam fc, Kagera Sugar, Alliance fc, Simba na Yanga.
Matokeo ya draw hiyo iliyochezeshwa leo saa tano asubuhi na kuonyeshwa mubashara na Azam tv haya hapa chini.

Katika draw hiyo Simba na Yanga huenda zikakutana katika mchezo wa nusu fainali endapo watashinda mechi zao za robo fainali. Endapo Simba akimfunga Azam fc na Yanga wakimfunga Kagera Sugar basi nusu fainali itakua ni ya watoto wa Kariakoo wenyewe kwa wenyewe.
Ambapo kwa upande mwingine mshindi kati ya Ndanda na Sahare All Star atakutana mshindu kati ya Alliance fc na Namungo fc.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.