Kumekuwa na hali ya kutoelewana kati ya mshambuliaji wa Yanga kutoka Congo , David Molinga pamoja na kocha msaidizi wa Yanga , Charles Boniphace Mkwasa. Kwa mujibu wa David Molinga ambaye amekiri kuwa anaonewa kwa kiasi kikubwa na kocha huyo tangu timu yao irudi mazoezini. "Kocha ananiambia sina fitness ,...
Kupitia taarifa yake iliyotolewa na msemaji wake Cliford Marion Ndimbo imezitaka klabu zote kutokucheza mchezo wowote bila kutoa taarifa katika Shirikisho la Soka
Msimu wa ligi hapa nchini unarudi tena baada ya kusimama kutokana na janga la Covid-19 ambalo liliikumba dunia kwa kiasi kikubwa na kusababisha shughuli mbalimbali zisimame zikiwemo shughuli za michezo. Serikali ya Tanzania imeshatangaza rasmi kuanzia jana tarehe 1/06/2020 kuwa ligi mbalimbali zinaweza zikaanza , na bodi ya ligi imeshatangaza...