Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Juma Mahadhi arejea kumpiga benchi Morrison !

Unaikumbuka mechi kati ya Yanga SC na TP Mazembe pale uwanja wa Taifa ? Mechi ambayo tajiri na aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo , Yusuph Manji alipoamua kuwalipia mashabiki wa Yanga kiingilio na wakaingia bure. Tuachane na mambo ya kiingilio kwenye hiyo mechi. Kuna kitu kimoja tu ambacho huwa...
Blog

Kuna hela za kina AJIB zinachukuliwa na kina Diamond

Ukikanyaga kwenye jukwaa la uwanja wa Taifa kutazama siku ambayo Simba au Yanga wanacheza utagundua kitu kimoja kikubwa , timu hizi zinapendwa sana tena kupitilizwa . Mapenzi haya huwa hayaishii kwenye timu pekee , huwa yanaenda mbali mpaka kwa mchezaji mmoja mmoja. Mashabiki wengi wana mapenzi na hawa wachezaji wao...
1 15 16 17 18 19 85
Page 17 of 85