
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo dhidi ya Burundi!
Timu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars imefanikiwa kufika katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Challenge baada ya kutoka suluhu na Sudan katika mchezo wa mwisho wa kundi B.
Awali kabda ya mchezo Killi stars ilihitaji sare ya aina yoyote ile ama ushindi ili iweze kufuzu hatua ya nusu fainali, baada ya matokeo ya mchezo wa awali dhidi ya Zanzibar kupata alama tatu.
Stars sasa inaungana na kinara Kenya mwenye alama 9 kufuzu kutoka kundi B baada ya kukusanya alama 4 na kuwaacha Sudan wenye alama 2 na Zanzibar wenye alama 1 wakiyaaga mashindano hayo.
Baada ya sare ya leo sasa Stars inajiandaa kukabiliana na kinara wa kundi A Uganda katika hatua ya nusu fainali.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,