Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Sichezi kuwafurahisha mashabiki – Molinga

Katika ziara ya mechi za kirafiki zilizochezwa Mwanza , Molinga "Falcao" amefanikiwa kufunga magoli 3 katika mechi mbili alizocheza, goli lake la kwanza alilifunga dhidi ya Pamba fc na jana amefanikiwa kufunga magoli mawili dhidi ya Toto Afrika katika mchezo ambao Yanga wamefunga goli 3-
1 29 30 31 32 33 85
Page 31 of 85