Chiyangi atasababisha mabingwa hao wa Afcon 2012, kufuzu kutoka kwenye kundi lao K dhidi ya Namibia mchezo utakaopigwa kunako uwanja wa taifa wa Zambia mnamo Machi 24
Mwaka 2018, Ronaldo ndiye aliyekuwa binadamu mwenye wafuasi wengi zaidi katika mtandao wa Instagram. Alikuwa na followers 144,482,390. Hivi mchezaji mwenye mashabiki wengi hivi unadhani ni ngumu kupata
Mshambuliaji wa Burnley inayoshiriki ligi kuu England Peter Crouch amesema anatamani sana kuiona Liverpool ikinyakua ubingwa lakini pia anatamani kunyakuwa alama tatu muhimu kwenye mchezo wao wa ligi watakapokuwa ugenini wakicheza na Liverpool mwishoni mwa juma hili. Crouch mwenye umri wa miaka 38 amesema mara zote amekuwa akifurahia anapocheza kwenye...
Shirikisho la soka la Madagascar, limeongeza mkataba wa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo Nicolas Depuis hadi mwisho wa fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) Depuis, anapata nafasi ya kuiongoza Madagascar kwenye fainali za kwanza kwenye historia ya taifa hilo Kocha huyo mwenye umri wa miaka 51, ambaye...
Je tutegemee kikosi cha mwalimu Amunike kitakua na sura mpya? Tutegemee ujumuisho wa kinara wa mabao wa TPL kutoka Mwadui, Salimu Aiyee mwenye mabao 14? Au Ibrahim Ajib nahodha wa Yanga?. Tupe maoni yako.
Kati ya mikataba ya ajabu iliyowahi kutokea kwenye mchezo wa soka basi ni huu mkataba wa makubaliano ya awali kati ya shirikisho la soka nchini Morocco na shirikisho la soka nchini Argentina kuelekea katika mchezo wa kirafiki. Katika mkataba huo Nahodha wa Argentina Lionel Messi amewekewa kinga kubwa ikiwemo baadhi...