Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

BlogEPL

Peter Crouch: Natamani Liverpool wawe mabingwa, ila…….!

Mshambuliaji wa Burnley inayoshiriki ligi kuu England Peter Crouch amesema anatamani sana kuiona Liverpool ikinyakua ubingwa lakini pia anatamani kunyakuwa alama tatu muhimu kwenye mchezo wao wa ligi watakapokuwa ugenini wakicheza na Liverpool mwishoni mwa juma hili. Crouch mwenye umri wa miaka 38 amesema mara zote amekuwa akifurahia anapocheza kwenye...
Blog

Baada ya kufuzu, kocha wa Madagascar aula

Shirikisho la soka la Madagascar, limeongeza mkataba wa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo Nicolas Depuis hadi mwisho wa fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) Depuis, anapata nafasi ya kuiongoza Madagascar kwenye fainali za kwanza kwenye historia ya taifa hilo Kocha huyo mwenye umri wa miaka 51, ambaye...
Blog

Morocco vs Argentina, mkataba wa ajabu wa kumlinda Messi.

Kati ya mikataba ya ajabu iliyowahi kutokea kwenye mchezo wa soka basi ni huu mkataba wa makubaliano ya awali kati ya shirikisho la soka nchini Morocco na shirikisho la soka nchini Argentina kuelekea katika mchezo wa kirafiki. Katika mkataba huo Nahodha wa Argentina Lionel Messi amewekewa kinga kubwa ikiwemo baadhi...
1 50 51 52 53 54 85
Page 52 of 85