Hii hapa list ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya Ballon d’Or.
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye majina 30 ya wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kandanda duniani yamewekwa wazi. Aliyechukua tuzo hii kwa mwaka jana ni Cristiano Ronaldo kutoka timu ya Taifa ya Ureno na Juventus (Kipindi hicho alikuwa Real Madrid). Sergio Agüero (ARG / Manchester City) Alisson (BRE / Liverpool)...