Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Erasto Nyoni aongezwa Taifa Stars

Kocha Emmanuel Amunike amemuongeza beki wa Kati wa klabu ya Simba, Erasto Nyoni, katika kikosi cha Taifa Stars. Hii ni kuongoza nguvu katika kikosi cha Stars kwaajili ya mechi ya marudio dhidi ya Cape Verde jumanne hii. Katika mechi hiyo Taifa Stars itamkosa pia Hassan Kessy aliye na kadi mbili...
Blog

Uganda “Dhaifu” ilituaminisha kuwa tushafika!.

Dimba la Nambole ni dimba gumu sana kati ya madimba yote yaliyopo Afrika Mashariki na Kati. Ni dimba pekee ambalo timu ya taifa ya Uganda haijawahi kuruhusu kufungwa tangu mwaka 1997. Ni sehemu ambayo Waganda wengi wanaiamini sana kwa sababu huwatia faraja kila wanapoenda kuishangilia timu ya taifa. Misri alikufa...
Blog

Natamani leo Amunike awaite Ajib na Kichuya!

Macho yangu yalikuwa makini sana tulipokuwa kwenye dimba la Nambole. Dimba ambalo ni gumu sana. Nilijaribu kuiweka presha pembeni na kuamua kuwatazama vizuri Taifa Stars. Na ikizingatia ilikuwa mechi ya kwanza ya kocha kutoka Nigeria Emmanuel Amunike, nilitamani kumuona anawezaje kucheza katika mechi za ugenini. Mechi ambazo hana mashabiki wengi,...
BlogMashindano

TPDC mabingwa wa Kandanda Day 2018

Tamasha la Kandanda Day limehitimishwa kwa TPDC kutawazwa mabingwa wapya wa Kandanda Day kwa mara ya kwanza baada ya kombe hilo kushindaniwa na timu kutoka katika kundi la Kandanda la Facebook. TPDC iliingia Fainali baada ya kufanikiwa kushinda kwa mikwaju ya penati 7-6 dhidi ya Mikocheni Veterans, ambao waliamua kuondoka...
BlogSerie A

Cassano atangaza kustaafu kwa mara ya tatu.

Mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid na AC Milan Antonio Cassano ametangaza kustaafu soka kwa mara ya tatu, siku chache tu baada ya kurejea uwanjani. Cassano ambaye aliwahi kuichezea timu ya Taifa ya Italy amesema sasa ameamua kabisa kuacha na soka kwa muda wa kufanya hivyo umefika baada ya siku...
Blog

Monaco yamtangaza Thierry Henry kuwa kocha mkuu.

Klabu ya soka ya AS Monaco ya nchini Ufaransa imemtangaza mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo na vilabu vya Arsenal na Barcelona Thierry Henry kuwa kocha wao mkuu hadi Juni mwaka 2021. Henry ambaye alikuwa kocha msaidizi wa Ubeligiji katika fainali za kombe la Dunia anachukua nafasi ya Leonardo Jardim...
Blog

Samatta, kuna leo moja tu ya kujenga kiti chako cha enzi!

Kuna vingi vinavyoenda na kubaki katika maisha yetu kama kumbukumbu inayodumu. Kumbukumbu ambayo ni ngumu kuisahau kwa sababu ya ubaya au uzuri wa tukio husika. Mara nyingi watu wazuri hawadumu ila vitu vyao vizuri wanavyovifanya hudumu kizazi baada ya kizazi. Kizazi chetu kinamkumbuka Peter Tinno kwa sababu moja tu alifanikisha...
Blog

Simba wameshahau Matola ni ´fotokopi´ ya Djuma ?

KLABU ya Simba Simba SC ipo karibu kumtangaza nahodha wao wa zamani, Suleimani Matola kuwa kocha msaidizi wa mabingwa hao watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara. Hapana shaka kuhusu uwezo wa Matola kiufundishaji. Matola ni mtu wa Simba hasa, mshindi kiuchezaji na ndiye nahodha aliyefanikiwa kutwaa mataji mengi zaidi katika...
1 66 67 68 69 70 85
Page 68 of 85