Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Mechi tano zitakazokupa pesa Weekend hii.

Leicester City vs Everton TIMU ZOTE KUFUNGANA. Kwanini ? Mechi tano zilizopita za timu zote ni mechi moja tu ambayo timu zote hazijafanikiwa kufunga goli. Hii inaonesha safu zao za ushambuliaji siyo butu. Na katika hizo mechi tano zilizopita Leicester City imefanikiwa kupata cleansheets 2 tu na kufungwa magoli 7....
Blog

Naisubiri 2050 niisimulie hadithi ya Lionel Messi

Koti langu litakuwa nadhifu, sitoruhusu hali ya uchafu wa aina yoyote katika mwili wangu. Nitaonekana mzee- kijana. Mzee anayejipenda haswaa!. Mzee ambaye muda mwingi nitakuwa natumia kuangalia mifugo ambayo nitakuwa nashirikiana na mke wangu kuitunza. Mke ambaye amejaa upendo, mwenye kunijali, kuniheshimu na kunipenda kama ambavyo aliwahi kuapa mbele ya...
Blog

Kichuya ni ile ngoma ivumayo sana, sasa yaelekea kupasuka?

ACHANA na nafasi ya wazi aliyopoteza kwa kushindwa kutulia na kufunga kwa kichwa mwanzoni mwa kipindi cha kwanza katika mchezo wa ‘Dar es Salaam-Pacha’ siku ya Jumapili iliyopita, winga wa Simba SC, Shiza Kichuya anapaswa kujitazama upya kiuchezaji ili asiendeleee kuporomoka. Kwa dakika 62 za mchezo wa ligi kuu dhidi...
Blog

Yondan si Roy Keane, anapaswa kupevuka sasa.

INAKERA sana pale unapocheza kwa nguvu na kujitolea kwa ajili ya kuisaidia timu yako ipate ushindi- alafu unaona mchezaji mwenzako anapoteza mpira ´kizembe´ huku pia akipitwa kirahisi. September 2002 niliwahi kuona moja ya maamuzi ya kushangaza na yaliyonifanya nimfuatilie sana Roy Keane. Katika pambano la ligi kuu England, nahodha huyo...
Blog

Hongera Ambokile Eliudi!

Tovuti ya kandanda imeendelea kuwapongeza wachezaji wa Ligi Kuu wanaofunga mabao mengi katika kila mwezi. Mwezi wa nane wakati ligi ikianza alikuwa ni Meddie Kagere. Hatimae David Ambokile Eliud ameibuka kuwa mfungaji ambae atapewa zawadi kutoka tovuti yetu ya kandanda. Tovuti itamtafuta Ambokile na kumkabidhi zawadi yake hivi karibuni. Mbeya City vs...
Blog

‘Gloves’ za De Gea zilikuwa katika mikono ya Kakolanya

Dunia imeshawahi kuwa na makipa wengi ambao macho yenu yalifurahia kuwatazama. Makipa ambao wana sanaa kubwa sana wakiwa langoni. Kwa bahati mbaya hawa watu huwa hawathaminiwi kwa kiwango kikubwa kama wachezaji wa ndani. Lakini ukweli unabaki pale pale kuwa golikipa ni mtu muhimu sana ndani ya timu husika. Hispania wanamtambua...
Blog

Bartomeu amfungulia milango Guradiola kurejea Camp Nou.

Rais wa klabu ya soka ya Barcelona Josep Maria Bartomeu amesema mlango upo wazi kwa kocha Pep Guardiola  kurejea tena kwenye klabu hiyo kama atakuwa tayari kufanya hivyo. Bartomeu amesema alimpa nafasi kocha Guardiola kuendela kuifundisha klabu hiyo baada ya miaka minne ya mafanikio makubwa lakini aliamua kuondoka Camp Nou...
Blog

Asante Kotoko yamtangaza Charles Kwablan Akonnor kuwa kocha mkuu.

Klabu ya soka ya Asante Kotoko imethibitisha kuingia makubaliano ya miaka mitatu na nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Ghana Charles Kwablan Akonnor, kuwa kocha mkuu wa timu hiyo Majuma machache baada ya kocha Paa Kwesi Fabin kuachia ngazi na kutajwa kuelekea Afrika Kusini. Akonnor amekubali kuchukua majukumu...
Blog

CAF yatangaza tarehe ya AFCON 2019, Cameroon huenda ikavuliwa uwenyeji.

Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) limetangaza June 15 hadi Julai 13 kuwa Ndio tarehe rasmi ya kufanyika kwa mashindano ya Mataifa Afrika (AFCON). Hata hivyo katika mkutano wake uliofanyika Sharm el-Sheikh nchini Misri jana, CAF imeshindwa kuthibitisha kama mashindano hayo yatafanyika nchini Cameroon Kama ilivyopangwa hapo awali. CAF imesitisha...
Blog

Madagascar yapigwa marufuku kutumia uwanja wao wa nyumbani

Shirikisho la kandanda Barani Afrika limeufungia michezo mitatu uwanja wa Manispaa wa Mahamasina pamoja na kulitoza Shirikisho la Soka nchini Madagascar Faini ya shilingi 22,834,267 kufuatia vurugu zilizosababisha kifo cha mtu mmoja Septemba 9 mwaka huu. CAF imefikia hatua hiyo baada ya kutokea vurugu wakati Mashabiki wakitaka kuingia kwa nguvu...
1 69 70 71 72 73 85
Page 71 of 85