CAF yaridhia Ghana Kuandaa AWCON.
Kamati Tendaji ya Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) imeamua kutoivua Ghana uwenyeji wa Michuano ya Mataifa Afrika kwa upande wa Wanawake (AWCON). Awali taarifa zilisema kuwa Ghana ilipokonywa uwenyeji baada ya kuonekana kusuasua katika kufanya maandalizi, lakini katika kikao cha kamati hiyo kilichofanyika Alhamis nchini Misri, kimeamua kutoa ivua...