Pilato wa mechi mbili za Taifa Stars dhidi ya Cape Verde wawekwa bayana.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika ‘CAF’ limeweka wazi majina ya waamuzi watakaocheza mechi mbili za kuwania Kufuzu kwenye michuano ya mataifa Afrika mwakani kati ya Cape Verde na Tanzania. Majina ya waamuzi hao yanahusisha mechi ya kwanza Itakayofanyika nchini Cape Verde kwenye uwanja wa Estádio Nacional de Cabo...