Ligi Kuu

Ligi Kuu

Baada ya Chanongo, Ubwa na Ndemla, Salamba atapotezwa.

Wako wapi, Abuu Ubwa na Haruna Chanongo? Kwanini Said Ndemla bado anaendelea kuchezea Simba SC wakati iliripotiwa alifuzu majaribio yake huko Sweden mwanzoni mwa mwaka huu? Nini kinaendelea kumfanya Thomas Ulimwengu aendelee ‘kutangatanga’ kimpira tangu alipolazimisha kuondoka TP Mazembe Septemba 2016? Maswali yote haya najiuliza na ninayo majibu ya msingi,...
Ligi Kuu

Kwanini iwe Young Africans Football Club?

Mwaka2005 vijana-wapenda soka mtaa wa Area Six-NaneNane, Morogoro tuliamua kuiingiza katika ligi rasmi timu ya mtaani kwetu. Kulikuwa na vijana zaidi ya 35 wenye vipaji vya soka. Na kati yao tulikuwa wawili tu waliokuwa tukicheza nje ya mtaani kwetu kila msimu wa ligi ya TFF ( ligi daraja la nne-...
Ligi KuuUhamisho

Coastal Union yamrudisha Mr. Freekick

Klabu ya Coastal Union ya jijini Tanga imefanikiwa kukiongozea nguvu kikosi chake baada ya kumrudisha mchezaji wao wa zamani Miraji Adam. Coastal Union imefanya usajili huo ili kuimarisha safu yake ya ulinzi na sasa Miraji Adam anakwenda kuungana na kina Bakari Mwamnyeto, Adeyum na Mbwana Kibacha katika eneo hilo. Miraji...
Ligi KuuUhamisho

Azam fc inazidi kupukutika!

Klabu ya soka ya Azam FC imeendelea kupunguza wachezaji wake baada ya kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara katika kikosi cha kwanza, haswa katika eneo lá ushambuliaji. Mwalimu Hans Plujim ameamua kuwatoa wachezaji wake wawili wa eneo la ushambuliaji kwa mkopo kwenda kwenye vilabu vingine vya Ligi Kuu Bara...
Ligi Kuu

Yanga yatakiwa kubadili jina mara moja

Shirikiho la soka Tanzania (TFF ) kupitia kwa katibu mkuu Wilfred Kidao limeiandikia barua klabu ya Yanga kuitaka kubadili jina lake la usajili kutoka “Young African Sports Club” na kuwa “Young African Football Club”. Barua hiyo imedai kuwa, kujiita sports club maana yake ni kujihusisha na michezo mingine tofauti na...
Ligi Kuu

Mrisho Ngassa; Tutahitaji sapoti ya mashabiki, hatutawaangusha

WINGA/kiungo-mshambulizi wa Yanga SC, Mrisho Ngassa amewaomba mashabiki/wapenzi na wachama wa klabu yao kuendelea kuwaunga mkono katika kipindi hiki kigumu wanachopitia kiuchumi, na kusisitiza wao kama wachezaji wataendelea kusaka ushindi uwanjani. Ngassa alifunga goli la ushindi katika mchezo wa Alhamis hii dhidi ya Mwadui FC katika uwanja wa Kambarage, Shinyanga...
Ligi Kuu

Kapombe ni pengo, lakini..!

KWA mara nyingine mlinzi ´kiraka´ wa klabu ya Simba SC na timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars), Shomari Kapombe atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu baada ya kuumia kifundo cha mguu Alhamis iliyopita. Kapombe alikanyaga vibaya mpira katika mazoezi ya timu ya Taifa wakati wakijiandaa na...
Ligi Kuu

Mambo si mambo ndani ya Mbao FC, Amri Said kutimka.

LICHA ya kuanza msimu kwa mwendo wa kuridhisha ikiwemo kuongoza ligi kuu kwa wiki kadhaa, habari za ndani nilizozipata ni kwamba wachezaji wa Mbao FC wameanza kumpa wakati kocha mkuu wa timu hiyo Amri Said ´Stam´. Jumanne hii Amri aliingia katika mzozo na uongozi wake akiwashinikiza kuwalipa mishahara wachezaji wake...
1 59 60 61 62 63 94
Page 61 of 94