Klabu ya soka ya Azam imefikia maamuzi ya kumsafirisha beki wao Abdallah Kheri kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa kina baada ya kuumia goti lake wakati akifanya mazoezi na timu ya vijana. Afisa Habari wa Azam Jaffary Idd Maganga amesema maamuzi hayo yamefikiwa baada ya kutambua...
MABINGWA mara 27 wa kihistoria wa ligi kuu Tanzania bara, Yanga SC kwa mara ya pili mfululizo wanashinda mechi ambayo hadi wakati wa mapumziko walikuwa nyuma. Jumatatu iliyopita kikosi hicho cha koch Mcongo, Zahera Mwinyi kilipambana ´kufa na kupona´na kutumia robo saa ya mwisho ya mchezo kurudisha goli la Tanzania...
Kuna wengine watakumbuka sanaa ambayo alikuwa akiionesha uwanjani, magoli aliyokuwa anayafunga yanaweza yakawa kumbukumbu kubwa vichwani mwa wengi. Kuna mengi sana ya kumkumbuka huyu gwiji wakati akiwa mchezaji lakini kuna mengi ya kuyatukuza ya huyu gwiji kipindi alipoamua kuwa kocha. Alitamani kubadilisha mpira wa miguu na kuna wakati alitamani dunia...
Kabla ya ligi kuanza kulikuwa na vitu vingi sana vya kuvutia. Vitu ambavyo vilitufanye tuanze kuisubiri ligi kwa hamu. Kuna wengi waliangalia vitu vingi kulingana na wao wanavyopenda. Wapo ambao walizitazama Simba na Yanga kwa jicho la shauku. Hapana shaka shauku ya kuzitazama Simba na Yanga huanzia kwenye aina ya...
Tovuti yetu ta kandanda.co.tz imeendelea na utaratibu wake wa kusheherekea na wachezaji wa ligi kuu Tanzania bara, ambao wanafunga mabao mengi kwa Mwezi. Mwezi uliopita, Herieter Makambo ndiye aliibuka galacha na kuwa Galacha wa mabao akifungamana na Said Dilunga. Lakini Makambo yeye alifunga mabao muhimu yaliyoisaidia Yanga kukaa kileleni. Makambo...
Timu ya Yanga imerejea jijini Dar Es Salaam ikitokea mkoani Mbeya kupepetana na maafande wa Magereza, Tanzania Prisons na kufanikiwa kupata ushindi wa magoli 3-1. Baada ya mchezo huo Yanga ilipitia mkoani Rukwa na kucheza mechi moja ya kirafiki dhidi ya Sumbawanga United na kuichapa goli 2-0. Kikosi kizima kimewasili...
Wengi wameyazungumza haya ya kwamba Yanga ni timu ya kawaida lakini hali inakuwa tofauti hasa pale dakika 90 zinapokamilika, lakini inaonekana kama Biashara United ya Mara wamedhamiria kudhihirisha hili. Meneja wa Biashara United Amani Richard Josiah amesema kikosi chao kinataka kuonesha hilo kuwa Yanga ni timu ya kawaida pale watakapokutana...
Nahodha wa kikosi cha KMC, Yusuph Ndikumana, ameitaja mechi dhidi ya Azam FC kama mechi muhimu zaidi kwao kwa sasa, hasa ukiangalia nafasi ambayo wapo na uhitaji wao alama tatu muhimu Ili kujinasua sehemu ambayo wapo. Ndikumana, mchezaji wa zamani LLB Academy ya Burundi na Mbao FC ya Mwanza amesema...
Baada ya mchezo wa kanda ya ziwa dhidi ya Mwadui FC na kutoka sare ya bao 1-1, timu ya soka ya Manispaa ya Kinondoni 'KMC' imerejea Jijini Dar es Salaam ambapo Leo Imeanza Mazoezi rasmi ya kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Azam FC. Kocha msaidizi wa KMC Ahmad Ally...