Ni wakati mwafaka Yanga na Ajib kufungua mazungumzo ya mkataba.
NI miezi tisa hadi kumi imesalia kabla ya kumalizika kwa mkataba wa kiungo-mshambulizi Ibrahim Ajb klabuni Yanga SC. Ndani ya miezi 15 ya mwanzo , Ajib bado hajafanya mambo makubwa kama ilivyotarajwa wakati anasajiliwa kutoka Simba SC katikati ya mwaka uliopita, lakini kwa umri wake inaonyesha bado ana weza kufika...