
Simba leo inaendeleza zoezi lake la kula viporo katiki Ligi Kuu Bara ikishuka dimbani dhidi ya Allince School ya Mwanza katika dimba la CCM Kirumba.
Baada ya kupokea kipigo kutoka kwa Kagera Simba sasa itajiuliza mbele ya Allince ambapo mchezo unatarajiwa kuwa mzuri na wakuvutia.
Habari mbaya kwa mashabiki wa Simba ni kukosa huduma ya beki wao mkongwe Erasto Nyoni kutokana na kuumwa.
Kocha wa Simba Patrick Aussems amethibitisha kukosa huduma ya beki wake huyo.
Chanzo kilieleza ” Kocha Patrick Auseems amethibitisha tutakosa Erasto Nyoni katika mchezo wa leo kutokana na kuugua. Wachezaji wengine watakaokosekana ni Pascàl Wawa na Shomary Kapombe”.
Unaweza soma hizi pia..
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.
Kocha Yanga: Kesho tunacheza mechi mbili.
Yanga wakaua makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kupepetana na Dodoma Jiji katika Ligi Kuu ya NBC.