
Moja ya mikutano ambavyo timu inaweza kutangaza viingilio au utaratibu wa mapato yao. Pichani ni Haji Manara, Msemaji wa Simba SC.
Kuelekea mechi ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga tambo zinazidi kuwa nyingi ambapo Leo msemaji mkuu wa Simba amedai kuwa mashabiki wa Yanga wanapokutana akili zinakuwa moja.
“Wewe mchukue profesa yoyote wa chuo kikuu, mchukue profesa ambaye ni daktari bingwa ambaye ni shabiki wa Yanga afu waweke pamoja na shabiki wa Yanga ambaye ni muuza ubuyu , akili zao zinakuwa pamoja”
“Hata baba yangu huwa namuuliza, kuna wakati nikiwa nazungumza na baba yangu kwenye mambo mengine anaonekana ni Genius kweli, lakini linapokuja suala la Yanga U-genius wake unapotea”- alimalizia kwa kusema hivo , msemaji huyo alikuwa anahojiwa na kituo cha radio cha Wasafi Fm
Unaweza soma hizi pia..
Mgeni njoo mwenyeji apone!
Baada ya msimu ujao United atakuwa anatimiza miaka 10 tangu kutwaa ubingwa wake wa mwisho wakiwa na mstaafu Sir Alex Ferguson.
Milan ilivyomsubiri Masia kuwaokoa!
Msimu wa mwaka 2011 Ac Milan alichukua ubingwa kutoka kwa mahasimu wao Inter Milan sawa
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.