
Baada ya kuwepo na taarifa za hali ya sintofahamu kuhusu mkataba wa Luis Miquissone mchezaji raia wa Msumbiji, mtandao huu uliamua kumuuliza bwana Senzo Mbatha.
Kumbuka Senzo Mbatha ndiye aliyekuwa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba wakati Luis Miquissone na ndiye mtu ambaye alihusika sana kuhakikisha usajili wa mchezaji huyu ukikamilika.
Alipoulizwa na mtandao huu wa kandanda.co.tz, Senzo Mbatha amedai kuwa atajibu kama mtu ambaye alihusika na usajili huo kwa karibu.

“Nitajibu kama mtu ambaye alihusika na usajili wa Luis Miquissone kwa karibu. Sitojibu kwa niaba ya Simba”.
“Luis Miquissone ni mchezaji halali wa Simba na ana mkataba wa miaka mitatu ndani ya Simba kwa hiyo ni mchezaji halali wa klabu ya Simba”- alisema Senzo Mbatha.
Unaweza soma hizi pia..
Juma Mgunda na utamu wa Coastal Union yake!
Mgunda mpaka sasa ameiongoza Coastal Union katika michezo 10 ya Ligi.
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga