
Mbwana Samatta anayekipiga kwa mafanikio katika Klabu ya KRC Genk ya Ubelegiji.
Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kwa sasa ndie Mwafrika mwenye mabao mengi barani Ulaya huku akiwambiza Mastar wakubwa wanaosakata kabumbu barani humo.
Samata amewazidi kupachika mabao wachezaji wakubwa kama Sadio Mane, Mo Salah(Liverpool), Pierre Aubameyanga (Arsenal), Kevin Prince Boateng (Barcelona). Mpaka sasa Samata ana mabao 31 katika michuano yote huku akiwa kinara wa mabao katika Ligi ya Ubeligiji akiwa na mabao 22.
Tazama hapa top 5 ya Waafrika wenye magoli mengi Ulaya.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,