Tetesi

Mwinyi Haji anaelekea Kinondoni…

Sambaza....

Beki wa kushoto wa klabu ya Yanga Mwinyi Hajji yupo katika rada za wana “Kino Boys” KMC ili kukiimarisha kikosi chao.

Mwinyi Haji tayari amemaliza mkataba wake na Yanga na mpaka sasa uongozi wa Yanga upo kimya huku nafasi yake akiwepo Gadiel Michael na pia akiongezwa Mrundi Sibomana hivyo kuzidi kuweka ufinyu wa nafasi katika klabu ya Yanga

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x