The Cranes kuingia kambini Nov 9, watatu wa TPL wajumuishwa.
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' Sebastien Desabre amewaita kikosini wachezaji watatu wanaocheza Ligi kuu Tanzania Bara Kwa ajili ya michezo miwili ya Kimataifa. Desabre amewaita Nicolas Wadada wa Azam, Emmanuel Okwi na Jjuuko Murushid wote wa Simba SC katika kikosi hicho ambacho kitacheza na Cape...