
Klabu ya Singida United imetangaza Rasmi kuachana na aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Dragan Popadic, Singida united imesema Kwasasa kikosi hicho kitakua chini ya Kocha Fred Felix Minziro Baba Isaya.
Popadic amekuwa mara kwa mara akilalamikia ukata katika klabu hiyo ukiachilia mbali waamuzi wa Ligi Kuu. Anaicha Singida ikiwa inasua sua katika matokeo ya ligi kuu.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.