
Vilabu vya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), vitakutana Alhamisi hii katika kikao cha dharura kuhusu hatma ya mechi zilizobaki kuhusu msimu huu.
Baadhi ya mipango ambayo inaelekea kujadiliwa ni kumaliza Ligi na kumpa ubingwa Liverpool Fc pamoja na uwezekano wa kuwa na timu 22 katika msimu wa 2020/21. Hii ikiwa na maana vilabu ambavyo vipo mkiani havitashuka ila timu ambazo zilitakiwa kupanda zitapandishwa, hivyo msimu utakao fuata watashusha timu tano.
Ikumbwe mpango huu unaweza kuwa na manufaa kwa Mbwana Samatta ambaye timu yake ya Aston Villa ambayo ipo hatarini kushuka. Samatta alijiunga na Aston Villa akitokea Krc Genk. Hadi sasa ameshaifungia goli moja katika Ligi Kuu hiyo.
Unaweza soma hizi pia..
Ronaldinho: Natamani ningecheza na Mo Salah!
Gaucho mshindi wa Ballon'dor pia hakusita kutoa ushauri wa wapi anadhani Mo Salah anatakiwa kwenda huku akisisitiza furaha ni muhimu kwake katika mchezo wa soka.
Mgeni njoo mwenyeji apone!
Baada ya msimu ujao United atakuwa anatimiza miaka 10 tangu kutwaa ubingwa wake wa mwisho wakiwa na mstaafu Sir Alex Ferguson.
Tottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!
Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,