Manchester United watauza sana jezi zao
Klabu ya Manchester United imezindua jezi zake za msimu wa 2020/21, katika jezi hizo ile ya chaguo la tatu ndiyo...
Parimatch yafanya maboresho, yaja kibabe na mfumo mpya
Wapenzi wa kubashiri taarifa hii iwafikie muda huu wakati Ligi zikianza kurudi, anza kunoa vidole vyako Parimatch hii hapa.
Samatta: Sio sawa wachezaji kukatwa mishahara kipindi hiki.
Mi nadhani ni vyema wangewaacha wachezaji wenyewe ndio waamue kuhusu kukatwa mishahara lakini isiwe kama shinikizo hivi.
EPL na Laliga wafikirie kumalizia Ligi China?
Kwa kesi hii ya ugonjwa wa corona ni vyema basi FA za Hispania na England wakafiri ni jinsi gani wataweza kuwasiliana na kujenga ujamaa na FA ya China.
Samatta kubaki Ligi Kuu ikiwa hivi…
Vilabu vya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), vitakutana Alhamisi hii katika kikao cha dharura kuhusu hatma ya mechi zilizobaki kuhusu msimu huu.
Klopp agoma kuvaa Suti kwenye mechi za Liverpool.
Kocha wa Liverpool amegoma kuvaa suti katika mechi za Liverpool, akijitetea kwa sababu lukuki.
Uchambuzi wa mechi mbalimbali wa juma hili
ARSENAL vs LIVERPOOL. Arsenal katika mechi hii walitumia mfumo wa 4-3-2-1 wakati Liverpool walianza na mfumo wa 4-3-3, ila walikuwa...
Moses amedhulumiwa jasho lake
NAPAZA sauti juu yangu nikisema wazi Victor Moses amedhulumiwa jasho lake. Nitasema hivi kokote kule ambako nitaitwa kuelezea amedhulumiwaje. Nitakueleza...
Guardiola anapotuumbua wanafiki wake
Mbele ya hadhara Pep Guardiola ameamua kutuumbua wanafiki wake. Ametuumbua na kutuziba midomo kwa vitendo uwanjani sio kwenye ndimi kama...
Barcelona naipenda, lakini Chelsea naipenda zaidi
HAYIMAYE uvumi umekuwa kweli. Chelsea imepangwa na Barcelona hatua ya 16 ya Uefa Champions league. Ilianza kama uvumi, ikaja tetesi,...