
Papy Kabamba Tshishimbi.
Jana kulitokea habari za usajili wa aliyewahi kuwa nahodha wa timu ya Yanga , Papy Kabamba Tshishimbi kusajiliwa na As Vita ya nchini Congo.
Papy Kabamba Tshishimbi amedai kuwa kwa sasa wako kwenye mazungumzo na As Vita na muda wowote wanaweza wakaingia kwenye mkataba mpya na As Vita.
“Bado sijasajiliwa na As Vita ila tuko kwenye mazungumzo na As Vita. Mazungumzo ambayo yanaweza kumalizika na kusajiliwa na As Vita”- alisema Papy Kabamba Tshishimbi.
Papy Kabamba Tshishimbi alishindwa kuongeza mkataba na Yanga kutokana na kutokukubaliana kila pande hivo akaamua kurudi kwao Congo.
Unaweza soma hizi pia..
Ilikua ni Sopu dhidi yaYanga.
Sopu alivunjavunja ile 'partnership ' ya Job na Mwamnyeto ya ndani ya klabu na timu ya Taifa, maana huwa wanacheza hivyo hivyo
Yanga yataja siku ya kumtambulisha Aziz Ki!
Senzo Mazingisa pia alikanusha uvumi wa Fiston Mayele kusajiliwa na Kaizer Chiefs na kusema kuna wanahabari wanataka kuwachanganya.
Tamu na chungu za dakika ya mwisho!
Ligi kwa ujumla ilikuwa ngumu na yeye kusisimua licha ya bingwa kupatikana mapema lakini kiwango cha ushindani kilikuwa kikubwa hadi dakika ya mwisho.
Hizi hapa mechi kali zakumalizia Ligi!
Binafsi hii ndiyo michezo mikubwa miwili ninayoiangalia kwa jicho la uoga kwa kuwa ina maamuzi na hatma ya timu. Fiston Mayele na George Mpole!?