Mpira wa Afrika na mauzauza yake kwa Simba!
Hawa Wachambuzi wa Mpira wa Nchi hii kila mtu ana namna yake ya kujitafutia Ugali wake! Wengine wanatafuta kwa njia za kawaida wengine wanatafuta kwa njia ya kuchafua taswira ya wengine
Tshishimbi: Sijasajiliwa As Vita.
Papy Kabamba Tshishimbi alishindwa kuongeza mkataba na Yanga kutokana na kutokukubaliana kila pande hivo akaamua kurudi kwao Congo.
Natamani kikosi cha Simba kiwe hivi kesho!
Tupe maoni yako nawewe ungependa kumuona nani katika kikosi cha kwanza cha Simba kesho dhidi ya AS Vita.
Hiki hapa kikosi kamili cha AS Vita kitakachowakabili Simba.
Kikosi kamili cha wachezaji 20 wa AS Vita waliotua Dar ili kutafuta nafasi ya robo fainali hiki hapa.
Hofu yangu kwa Simba ni sehemu 4 pekee, Hizi hapa.
Ushindi ni lazima! Lakini kila mtu katika nafasi yake lazima atimize majukumu yake.