
Baada ya leo tena kufanikiwa kuifunga Mtibwa Sugar bao moja kwa sifuri sasa Yanga wanafikisha alama 10 sawa kabisa na mahasimu wao Simba wenye alam kumi pia huku tofauti ikiwa ni tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa!
Msimamo Ligi Kuu Bara
# | Timu | P | W | D | L | F | A | GD | Pts |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | ![]() | 34 | 26 | 5 | 3 | 78 | 14 | 64 | 83 |
2 | ![]() | 34 | 21 | 11 | 2 | 52 | 21 | 31 | 74 |
3 | ![]() | 34 | 19 | 11 | 4 | 50 | 22 | 28 | 68 |
4 | ![]() | 34 | 13 | 11 | 10 | 28 | 32 | -4 | 50 |
5 | ![]() | 34 | 13 | 9 | 12 | 39 | 27 | 12 | 48 |
6 | ![]() | 34 | 10 | 15 | 9 | 29 | 27 | 2 | 45 |
7 | ![]() | 34 | 10 | 14 | 10 | 25 | 25 | 0 | 44 |
8 | ![]() | 34 | 11 | 11 | 12 | 28 | 31 | -3 | 44 |
9 | ![]() | 34 | 10 | 13 | 11 | 24 | 31 | -7 | 43 |
10 | ![]() | 34 | 11 | 8 | 15 | 34 | 38 | -4 | 41 |
Unaweza soma hizi pia..
Mtibwa na mchezo wao wa karata.
Kama ningeulizwa ya Mtibwa Sugar FC ilipaswa kuwa timu ya mchezo gani basi jibu langu la moja kwa moja ingekuwa...
Ilikua ni Sopu dhidi yaYanga.
Sopu alivunjavunja ile 'partnership ' ya Job na Mwamnyeto ya ndani ya klabu na timu ya Taifa, maana huwa wanacheza hivyo hivyo
Mpole ni sugu aliahidi ufungaji bora!
ni sugu na jasiri sana hana uwoga hata kidogo na ni mtu wa kujitoa mhanga na ni mpambanaji haswa.
Yanga yataja siku ya kumtambulisha Aziz Ki!
Senzo Mazingisa pia alikanusha uvumi wa Fiston Mayele kusajiliwa na Kaizer Chiefs na kusema kuna wanahabari wanataka kuwachanganya.