Ligi Kuu

Yanga Africa: Timu ya Wananchi!

Sambaza....

Yanga sc inaendelea kusonga mbele na kujikita kileleni ikiwa na alama 67 baada ya kuwapiga watoto wa mjini “Kino Boys” kwa bao mbili kwa moj pale Taifa.

Tazama msimamo hapo chini utaona jinsi Yanga alivyowaacha mbali wapinzani wake wa karibu ambao ni Azam fc na Simba sc.

PosTimuPWDLGDPts
13829636293
23827562986
338211253375
438131691555
53814816250

Pamoja na kusemekana klabu haina hela lakini Yanga bado wanaendelea kupambana na kupata matokeo yanayowafanya kuendelea kukaa kileleni. Lakini pia Yanga timu ya Wananchi haipo nyuma kwenye ufungaji wa mabao. Katika chati ya ufungaji wa mabao juu pale yupo mtu wa Congo kutoka Yanga Heritier Makambo.

Makambo

Na.MchezajiTimuNafasi
1rwaMeddie KagereMshambuliaji2300
2tanSalimu S. AiyeeMshambuliaji1800
3codHeritier MakamboMshambuliaji1700
4tanJohn R. BoccoMshambuliaji1601
5ugaEmmanuel A. OkwiMshambuliaji1500

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x