Kamati ya utendaji kumrejesha Lwandamina
Baada ya kocha mkuu wa Yanga sc, George Lwandamina kutimka klabuni hapo taarifa zinasema kuwa hakuwa na maelewano mazuri kati yake na Katibu mkuu Charles Boniface Mkwasa "Master" Taarifa za chini ya kapeti zinaeleza kwamba, Mkwasa anataka kurejea kunako nafasi yake ya ukocha na kuachana na ile ya Katibu mkuu...