Lipuli FC yaikomalia Simba SC
Simba sc, imeshindwa kupata ushindi ugenini dhidi ya Lipuli FC katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 Katika mchezo huo ulioanza kwa kasi, huku wenyeji wakifaidika na umilliki wa mpira kwa kiasi kikubwa baada ya kufanikiwa kupata bao kunako dakika...