Dismas Ten alivyoizungumzia Simba sc
Hafsa habari wa klabu ya Yanga sc, Dismas Ten amesema kuwa sio jambo jema sana kujisifia kutoa sare ugenini kwa maana halikuwa lengo la kila mmoja Akiongea kutoka makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Twiga na Jangwani, Ten alisema kuwa lengo ilikuwa ni kuona timu zinafudhu kwenda kunako hatua...