Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Ligi Kuu

Kagere afunikwa na Chirwa

Mzambia Obrey Chirwa ameandika rekodi usiku  wa Julai 5 baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kwa msimu huu kufunga hat trick mbili katika Ligi Kuu Bara, wakati akiiongoza Azam FC kuisambaratisha Singida United iliyotangulia mapema Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kutoka Ligi Kuu. Nyota huyo wa zamani wa Yanga na...
Tetesi

Ninja kurudi Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, amesema kuwa anamtazama kwa ukaribu beki wa zamani wa timu hiyo, Abadlah Shaibu ‘Ninja’ ili kuona kama anaweza kufiti kwenye mfumo wake kabla ya kuruhusu asaini dili ndani ya klabu hiyo. Ninja alikitumikia kikosi cha Yanga msimu wa 2018/19 kabla ya kuondoka na kutua...
Uhamisho

Siondoki Yanga -Tshishimbi

Kuna hadithi mbili mpaka sasa hivi ambazo hazieleweki kwenye klabu ya Yanga. Hadithi ya kwanza ni ya Yanga na Bernard Morrison.  Kila upande wa hadithi hii unadai hauna makosa kwenye changamoto wanazopitia. Yanga wanadai wako na mkataba na Bernard Morrison unaoisha mwaka 2022 wakati Bernard Morrison anadai mkataba alionao unaisha...
Ligi Kuu

Sababu tatu kwanini Biashara United ataifunga Yanga

Leo ligi kuu Tanzania bara inaendelea tena kwa michezo mbalimbali ambapo Alliance FC atakuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani wa CCM Kirumba wakimkaribisha Mtibwa Sugar. Mbeya City atakuwa katika uwanja wa Sokoine mjini Mbeya wakimkaribisha Coastal Union kutoka Tanga. Azam FC watakuwa Azam Complex kuwakaribisha Singida United. Nicholaus Wadada raia...
Blog

Morrison hatumtambui- Bumbuli

Baada ya Bernard Morrison kuonekana kwenye viwanja vya mazoezi akiwa na timu yake ya Yanga , maswali mengi yalizidi kuibuka kwa wadau wa soka nchini . Moja ya swali kubwa ni kama Yanga walimsamehe Bernard Morrison ambaye walikuwa wamemsimamisha kutokana na utovu wa nidhamu. Mtandao huu wa kandanda.co.tz uliamua kumtafuta...
Blog

Shomari Kapombe kuivaa Yanga …

Kwenye mechi ya nusu fainali kati ya Azam FC na Simba kulitokea tukio ambalo lilisababisha majeraha ya mchezaji wa Simba anayecheza nafasi ya beki wa kulia , Shomari Kapombe. Shomari Kapombe alichezewa rafu mbaya na Frank Domayo ambaye ni kiungo wa Azam FC , rafu ambayo wengi waliona kama rafu...
Blog

Simba itaua Yanga kwa kisasi…..

Kitu ambacho kinafurahisha ni  Simba na Yanga kukutana tena kwenye derby ya kariakoo. Timu hizi zinakutana zikiwa na hisia mbili tofauti Simba akiwa na presha ya kulipa kisasi Yanga akiwa na presha ya kutaka kucheza michuano ya kimataifa ili kuweza kupata ushawishi wa wachezaji wazuri na wakubwa kama atakuwa na...
Blog

Yanga ina ratiba ngumu kuelekea kariakoo derby

Nusu fainali ya kombe la Azam Federation Cup tayari ratiba yake ishatoka , timu ya Sahare All Stars watakutana na Namungo FC. Sahare All Stars ambao wapo ligi daraja la kwanza waliitoa Ndanda FC iliyoko ligi kuu kwa changamoto ya  mikwaju ya penalti. Wakati Namungo FC walimtoa Alliance Schools ya...
Blog

Yanga wanamdekeza Morrison

Hatimaye Bernard Morrison ametupa jibu la maswali yetu. Nilikuwa na swali kuhusu ubora wake. Kwanini amefika hapa nchini akiwa na kipaji maridhawa kama chake. Wakati fulani niliwahi kusema ‘ukimuona mchezaji bora sana wa kigeni yupo nchini basi kuna jambo’. Inawezekana akawa mkorofi na hana nidhamu, inawezekana umri wake umekwenda, inawezekana...
1 6 7 8 9 10 79
Page 8 of 79