Ligi kuu Tanzania bara inazidi kuendelea kwa kasi huku Simba akionekana ana njaa ya kulichukua tena kombe hili.
Pamoja na njaa iliyopo kwa Simba , Yanga msimu huu imejitahidi kujiimarisha vya kutosha ili kupambana na Simba.

Katika harakati za kujiimarisha zaidi Yanga imejikuta ikiweka rekodi kubwa. Yanga imeweka rekodi ya kusajili wachezaji 22 ndani ya msimu mmoja. Orodha ya wachezaji waliosajiliwa msimu huu wa 2019/2020 na Yanga ni kama ifuatayo.
1. Sadney
2. Kalengo
3.Bigirimana
4. Balinya
5. Sibomana
6. Molinga
7. Moro
8.Ally Sonso
9. Ally Ally
10. Mwarami
11. Makame

12. Balama
13. Shikalo
14. Metacha
15. Yikpe
16. Taliq
17. Niyonzima
18. Morrison 19:Kabamba
20.Nchimbi
21.Mustapha
22.Adeyum
Unaweza soma hizi pia..
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.
Kombe la FA: Ni fainali ndani ya fainali.
Mchezo wa nusu fainali ni utakua na hadhi, ukubwa na umaarufu kuliko fainali yenyewe kutokana na aina ya wapinzani watakaokutana.