
Baada ya maneno mengi ya kumkebehi mshambuliaji wa Yanga , David Molinga ambaye ni raia wa Congo, kocha mkuu amekiri yeye ndiye aliyemsajili.
“Usajili tulikuwa tumemaliza, ila ilipokuja taarifa ya sisi kucheza michezo ya kimataifa nilifikiria kuongeza mtu wa kusaidizana na washambuliaji wengine.
Nilipigiwa simu kutoka Congo wakati huo nikiwa Ufaransa kuwa David Molinga hana timu , ndipo nilipowapigia viongozi wa Yanga kuwaambia kuna mshambuliaji mzuri ninamjua tunaweza kumuongeza kwenye kikosi chetu”- alidai kocha huyo kutoka Congo
Unaweza soma hizi pia..
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.