Fei Toto kwenda Azam FC
Baada ya kuendelea kufanya usajili kwa ajili ya kujiimarisha na ligi kuu Tanzania bara msimu ujao kwa kuwaleta wachezaji nyota ndani ya kikosi cha Azam FC. Mpaka sasa hivi Azam FC wamefanikiwa kupata saini ya kiungo aliyekuwa anachezea Kagera Sugar Awesu Awesu , kiungo ambaye alikuwa anawaniwa na mabingwa wa...