Wafahamu wababe wanaokwenda kupambania kombe!
Baada ya mchezo wa Ngao ya Jamii uliopigwa siku ya Jumapili jijini Arusha kuashiria kuanza kwa Ligi Kuu Bara sasa ni rasmi Ligi hiyo inarejea rasmi September 6 Jumapili. Tazama hapa wababe 18 wakaokwenda kunyeshana ubabe katika msimu wa 2020/2021 ambapo Simba sc ndie bingwa mtetezi wa kombe hilo. Nicholaus...