Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Baada kuanza kwa kipigo cha mabao matatu kwa sifusi West Brom wanahitaji mshambuliaji wa kwenda kuongeza nguvu katika eneo la mbele huku wakiona Mbwana Samatta
Achana na jezi zinazotangaza mbuga zetu kinamna tofauti, lakini tuangalie mechi hizi ambazo zaidi ya kuzifuatilia hapa zinaweza kukufanya urambe mkwanja pia.
Bwalya amejiunga na Simba akitokea kwao Zambia katika klabu ya Lusaka Dynamos, ambapo inasemekana Simba waliwapokonya wenzao Yanga tonge mdomoni kutokana na Yanga pia walimuweka kwenye mipango yao ya usajili katika msimu huu.