Thomas Mselemu

Msimamizi wa Tovuti
Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Ligi Kuu

Yanga mtafuteni Amri Said ana dawa ya Simba!

Huku zikiwa zimebaki takribani siku saba pekee kufikia September 30 ambapo Simba na Yanga zitakutana katika mchezo wa ligi kuu Bara tayari joto lá pambano hilo limeshaanza kupanda! Kwa kuonyesha hilo tayari timu hizo zimeshasogezewa mbele mechi za katikati ya wiki ili zipate muda wa kujianda na mtanange huo. Simba...
Ligi Kuu

Simba na Yanga zabadili ratiba ya Ligi Kuu!

Taarifa ambayo imetolewa na Shirikisho la Kandanda Tanzania, TFF, kupitia bodi ya Ligi Kuu chini ya mkurugenzi mkuu, Bwana Michael Wambura, ni kwamba mechi mbili zilizozihusu Yanga na Simba zimefutwa. Mechi hizo zilizofutwa ni hizi hapa chini: Sababu ya kufutwa mechi hizi hazijatajwa, lakini yawezekana ratiba ngumu nje ya Dar,...
Ligi Kuu

Maamuzi magumu yananukia Simba Sc

Baada ya klabu ya Simba kupoteza mchezo wake dhidi ya Mbao Fc kwa bao 1, kuna uwezekano klabu hiyo inaelekea kufanya maamuzi magumu lakini yenye maslahi si muda sasa. Kwa mujibu wa ujumbe mfupi kutoka kwa Msemaji wa klabu hiyo, Hahi Manara, ameonyesha dhamira hiyo ikiwa pamoja na kuwaomba radhi...
Ligi Kuu

Wachezaji Simba wapewa mtihani mzito!

Kuelekea katika mchezo wao wa nne wa ligi kuu Bara dhidi ya Mbao utakaopigwa katika dimba la CCM Kirumba uongozi wa klabu hiyo umetoa kauli nzito kuelekea kwa wachezaji na mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi Simba. Kuelekea mchezo huo wa leo msemaji wa Klabu ya Simba Hajji Manara amesema "Tumewaambia...
Blog

Usiku wa Mabingwa Ulaya: Ronaldo kala umeme, Pogba atakataa!

Akiwa anacheza mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Ulaya na klabu yake mpya ya Juventus Christiano Ronaldo amepata kadi nyekundu katika dakika ya 29 ya mchezo. Lakini hiyo hakuifanya Juve wasitoke na ushindi mbele ya Valencia. Baada ya kuwafunga magoli mawili kwa sifuri. Paul Pogba akiwa nahodha wa...
Mabingwa Ulaya

Cristiano Ronaldo ndio ‘kidume’ wa kutupia magoli

Orodha hii ya magoli inahusisha mechi zote ukiondoa za hatua ya kufuzu. Mchezaji Nchi Magoli Michezo Ratio Mwaka Klabu 1 Cristiano Ronaldo  Portugal 120 153 0.78 2003– Manchester United Real Madrid 2 Lionel Messi  Argentina 103 126 0.82 2005– Barcelona 3 Raúl  Spain 71 142 0.5 1995–2011 Real Madrid Schalke...
Blog

Mechi zote za kwanza za Ronaldo katika timu alizowahi chezea.

Kwamsaada wa mitandao, tumekuwekea hapa orodha ya mechi zote za kwanza alizocheza katika vilabu vyote hadi sasa akiwa Juventus, ikumbukwe siku ya Jumatano Ronaldo atacheza mechi yake ya kwanza katika michuano ya klabu bingwa akiwa na Juventus. Mechi yake ya kwanza katika ligi ya ushindani Sporting CP 0-0 Internazionale Milano...
1 54 55 56 57 58 66
Page 56 of 66