Yanga mtafuteni Amri Said ana dawa ya Simba!
Huku zikiwa zimebaki takribani siku saba pekee kufikia September 30 ambapo Simba na Yanga zitakutana katika mchezo wa ligi kuu Bara tayari joto lá pambano hilo limeshaanza kupanda! Kwa kuonyesha hilo tayari timu hizo zimeshasogezewa mbele mechi za katikati ya wiki ili zipate muda wa kujianda na mtanange huo. Simba...